
Alikiba – Mahaba Mp3 Download, Mp4 Video, Lyrics & Instrumental On Ghanavibez.
Naturally gifted Super Talented singer and songwriter, Alikiba finds way into the music industry with a amazing and astounding hit song captioned “Mahaba.”
If you are a lover of good music, this song is an impressive track that deserves a spot on your playlist.
Trust me, the sweet melody is available on this platform for your free and fast download.
After downloading Mahaba by Alikiba, we highly need your comment, and that’s where we know if we are serving you good or Bad. Please comment below. And don’t forget to share with others
And again, please, always visit Ghanavibez.com, to download New songs or album from all your favorite artists, Thanks.
Artist(s): | Alikiba |
Song Name: | Mahaba |
File Type: | audio/mpeg |
Category: | Foreign Music |
Related Websites: | fakaza, trendybeatz, justnaija, waptrick, naijaloaded, 24naijamuzic, 360media, 9jaflaver, Juice Mp3, Naijamusic, Thinknews, TikTok. |
Stream And Download Alikiba – Mahaba Mp3 Below:
Mahaba Song By Alikiba
Download Latest Alikiba Songs/Music, Videos & Albums/EPs here On Ghanavibe.
Alikiba – Mahaba Lyrics:
Sikuhizi hakuna mahaba yeh! Mahaba
Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwisha
Ni neema tuna hema mapenzi yanachosha yanafuja raha
Nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa
Uchungu wakulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu hile kwamba ulinikosha noo!
Uchungu wakulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu hile kwamba ulinitosha noo!
Mwenzako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka yeh!
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka yeeh
Sikiliza kwanza we mdada we mdada
Mi sio mgeni yalishanikaba mapenzi yalinikausha
Natamani kua single ila nnaupwil unanikaba kooh
Mabinti wenye vifundo hao ndo mi wananitoa roho
Na siri tu ya jambo lile ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh
Na siri yake tu jambo lile ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile na ufundi wa kutosha ooh!
Mwenzako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka yeh!
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka yeeh
Leave a Reply